Kokain (kutoka Kiingereza Cocaine, pia inajulikana kama coke), ni kisisimua-mwili au dawa ya kulevya inayotengenezwa kutokana na majani ya kituka cha koka kinachostawi katika milima ya Amerika Kusini. Umbo lake ni unga wa fuwele nyeupe.
Ilianza kutumiwa kama dawa ya kutuliza maumivu, halafu ikatambuliwa kama dawa ya kulevya na hivyo kusambaa kimataifa.
Kwa kawaida hunuswa, huvutwa kama moshi, au kama suluhisho hudungwa katika mshipa ya damu.
Tiba hutumia kokain kama dawa ya kutuliza maumivu hasa ...
Soma zaidi katika WikipediaAndika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa