Maharagwe (pia: maharage) ni mbegu za mimea mbalimbali (miharagwe) kutoka familia ya Fabaceae lakini mara nyingi sana Phaseolus vulgaris.
Mbegu hizi ni zao muhimu la chakula zinazolimwa kote duniani. Kuna spishi mbalimbali zinazojumlisha kati ya mazao ya jamii kunde. Mara nyingi mbegu zinavunwa baada ya kukauka na faida yake ni ya kwamba zinakaa muda mrefu, haziozi haraka.
Kuna aina zinazoweza kuliwa zikiwa bichi kabla ya kukomaa na kupikwa hivyo katika makaka yao: maharagwe-mboga. Kenya inalima ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa