Mharagwe-pana (Vicia faba) ni jina la mmea katika familia Fabaceae. Mbegu zake huitwa maharagwe mapana. Asili ya mmea huu ni Mashariki ya Kati lakini siku hizi hukuzwa mahali poti katika kanda za nusutropiki na wastani. Vipande vinavyolika ni mbegu (bichi na bivu), matumba machanga na majani.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa