Mkarafuu (Syzygium aromaticum) ni mti wa familia Myrtaceae. Macho ya maua yake yaliyokauka huitwa karafuu na kutumika kwa kiungo katika aina nyingi za chakula. Vikonyo vya maua huitwa makonyo na hutumika kama mbadala rahisi wa karafuu.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa