Miangati ni spishi mbalimbali za mti katika jenasi Terminalia ambazo zina majani madogo kuliko mkungu (Terminalia catappa). Inatokea savana na misitu ya Afrika ya tropiki. Spishi kadhaa, k.m. T. mantaly, hupandwa katika bustani na kandokando ya mitaa. Majina mengine ni mbombaro, mkaa, mkulungo, mpululu, mwalambe, mwarambe na mwavuli. Jina mwangati hutumika pia kwa mti mwingine, Juniperus procera, unaoitwa mtarakwa vilevile.
Terminalia brevipes, Mwangati
Terminalia brownii, Mbarao
Terminalia mantaly, ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa