Mnjegere-kubwa (jina la kisayansi: Cicer arietinum) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae unaopandwa katika maeneo ya tabianchi yabisi na ya joto.
Mbegu zake huitwa njegere kubwa na hupatikana katika makaka.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa