Asili ya maua haya ni Ulaya ya magharibi, ya kati na ya kaskazini.
Mmea wenye maua haya huwa na mizizi midogo inayomea ardhini lakini si kwa kuchimba sana ndani. Mmea wa maua haya una matawi madogo ya mviringo au matawi yenye kufanana kijiko yenye refi wa sentimita 2-5, ambayo hupatikana karibu sana na ardhi. Maua yenyewe ni sentimita 2-3 kwa upana yakiwa na sehemu nyeupe iliyozunguka sehemu nyingine ya samawati;kibibimlima ni daikoti.
Kibibimlima haathiriki na ukataji wa nyasi kwa hivyo yeye huwa ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa