Michekwa (Bauhinia spp.) ni vichaka au miti ya familia Fabaceae na kuna zaidi ya spishi 500. Jina hili hutumika kwa Piliostigma thonningii pia lakini spishi hii ina majina mengi mengine (angalia mchekeche).
Michekwa inatokea misituni kwa kanda za tropiki za Afrika, Amerika na Asia lakini spishi kadhaa zinatokea katika savana au nusujangwa. Majani yao yana umbo la unyayo wa ngamia. Maua yao ya sm 7.5-12.5 yana petali tano zenye rangi ya nyeupe, njano, nyekundu, pinki au zambarau.
Bauhinia acuminata, ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa