Mbigili ni aina ya mmea ya familia Zygophyllaceae inayotambaa ardhini na ambayo matunda yake yana miiba kali inayoweza kutoboa magurudumu ya baisikeli na kuumiza miguu sana. Hutumika kama mboga hususani na wakazi wa pwani.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa