Mkorosho, pia mbibo au mkanju (Anacardium occidentale), ni mti unaozaa korosho, moja baina ya jozi za kulika zinazopendwa kabisa. Kokwa haimo ndani ya tunda lakini inaambata chini lake. Matunda yanaitwa mabibo au makanju pia.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa