Mstafeli ni mti mdogo wa familia Annonaceae. Matunda yake yanayolika huitwa mastafeli. Mti huu una maua madogo ya rangi ya njanokijani yenye petali nene. Matunda yana umbo wa yai au figo na rangi ya majani na yana miiba myororo. Nyama ni nyeupe yenye ladha tamu na chachu. Mbegu zake ni nyeusi na kubwa kiasi.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa