Mimung'unye, mimung'unya, mimumunye au mimunya ni mimea ya jenasi Lagenaria katika familia Cucurbitaceae. Matunda yao huitwa mamung'unye, mamung'unya, mamumunye au mamunya na mengi yana umbo wa chupa.
Lagenaria abyssinica, Mmung'unye Habeshi (Abyssinian gourd)
Lagenaria breviflora, Mmung'unye-kinamasi (Swamp gourd)
Lagenaria guineensis, Mmung'unye-nyika (Bush gourd)
Lagenaria rufa, Mmung'unye-machungwa (Rufous gourd)
Lagenaria siceraria, Mmung'unye-chupa (Bottle gourd)
Lagenaria sphaerica, Mmung'unye-mviringo ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa