Mshelisheli (Artocarpus altilis) ni mti wa familia Moraceae. Matunda yake huitwa mashelisheli. Asili ya mti huu ni Nyugini. Wapolinesi wamepanda mshelisheli visiwani kwa Bahari ya Pasifiki isipokuwa Nyuzilandi na Kisiwa cha Pasaka ambapo hali ya hewa ni baridi sana. Sikuhizi hupandwa mahali pengi pa kanda ya tropiki ambapo kunanyesha kiasi (zaidi ya mm 1500 kwa mwaka).
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa