Mkungu (Terminalia catappa) ni mti mkubwa unaopandwa sana katika kanda ya tropiki. Asili yake labda ni Asia ya Kusini lakini hii siyo ya hakika. Jozi za matunda yake (kungu) huliwa sana huko pwani.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa