Ubuyu ni ungaunga wa rangi ya maziwa wa matunda ya mbuyu ukiwa na mbegu zake au bila mbegu.
Ubuyu umekuwa ni mmea wenye faida nyingi kwa mwili wa binadamu.
1. Unga wa ubuyu una vitamini C
2. Ubuyu una kiwango kingi cha madini ya Kalshiamu (Calcium).
3. Husaidia kujenga neva za fahamu mwilini
4. Ina virutubisho vya kulinda mwili
5. Ubuyu una vitamini B3 na vitamini B2 ambayo ni mhimu katika kuondoa sumu mwilini na umeng’enyaji wa madini ya chuma,
6. Unaongeza kinga ya mwili sababu ya kuwa na kiasi ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa