Mnjugu-mawe (Vigna subterranea) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae unaozaa njugu-mawe, mbegu zake ambazo zipo moja moja au mbili mbili ndani ya makaka. Tofauti na makaka ya kawaida vikonyo vya yale ya mnjugu-mawe huingia ardhini na makaka yanaendelea chini.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa