Mawali au mau (Moringa stenopetala, kutoka Kisomali mawali na mau) ni mti wa jenasi pekee, Moringa, ya familia Moringaceae. Asili ya mti huu ni Afrika ya Mashariki. Hupandwa katika mashamba kwa tungazi huko Konso, Uhabeshi, na hutumika kwa chakula cha watu, kupatia mimea mingine ya mazao kivuli na mitishamba.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa