Mnjugu Hausa (Macrotyloma geocarpum) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Kama mnjugu wa kawaida vikonyo vya matunda machanga huingia ardhini na makaka yanakomaa chini. Mbegu zake, zinazoitwa njugu Hausa, zipo mbili mbili ndani ya makaka. Asili ya mmea huu ni Afrika ya Magharibi. Hukuwza katika nchi mbalimbali za eneo hili, kwenye Benin hasa.
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa