Mbwanda, mbwende au mkwende (Canavalia gladiata) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae. Mbegu zake, zinazoitwa bwanda au bwende, zinakua ndani ya makaka yanayofanana na upanga. Hata makaka huitwa bwanda. Spishi nyingine za jenasi Canavalia hufananishwa mara nyingi na mbwanda, k.m. C. cathartica (mtela), C. ensiformis (mwingasiafu) na C. rosea (mgobi). C. africana na C. gladiata zinaweza kuwa spishi moja tu na mbile zote huitwa mbwanda.
Mbwanda hukuzwa katika nchi mbalimbali ...
Andika dalili au ugonjwa na usome juu ya mimea ambayo inaweza kusaidia, chapa mimea na uone magonjwa na dalili ambazo hutumiwa dhidi yake.
* Habari zote zinategemea utafiti wa kisayansi uliochapishwa